We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, May 1, 2019

Dilunga awaomba radhi JKT Tanzania


Mchezaji wa timu ya Simba SC, Hassan Dilunga amewaomba radhi viongozi na mashabiki wa JKT Tanzania baada ya kuwafunga jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara.

Timu ya Simba iliibuka na ushindi wa bao 1-0 likifungwa na Dilunga mnamo dakika ya mwisho kabisa ya mchezo na kuifanya Simba ipate alama tatu muhimu.

Baada ya mchezo Dilunga aliibuka na kusema anawaomba radhi JKT kwani aliwahi kuichezea timu hiyo na aliondoka bila ugomvi.

Dilunga ameeleza kuwa kwa sasa wako kwenye harakati za kuchukua ubingwa wa pili mfululizo hivyo hakuwa na namna ya kufunga. 

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list