We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, May 30, 2019

Chelsea yatwaa Kombe la Europa League kibabe vs Arsenal

Club ya Chelsea ya England licha ya kupata changamoto kwa kukosekana kwa mashabiki wake katika mchezo wa fainali ya Europa League dhidi ya Arsenal kutokana na timu hizo kutoka umbali mrefu hadi Baku, game imechezwa Azerbaijan na Chelsea kuondoka na Ubingwa wa michuano hiyo.
Chelsea imeifunga Arsenal kwa magoli 4-1, magoli ambayo yalifungwa na Oliver Giroud dakika ya 17, Pedro dakika ya 60, Eden Hazard aliyefunga mawili dakika ya 65 kwa penati na dakika ya 72 huku Arsenal wakipata la kufutia machozi kupitia kwa Iwobi.
Rekodi yake Unai Emery aliyoiweka dhidi ya Sevilla ya kutwaa mara tatu mfululizo Kombe hilo 2014, 2015 na 2016, haijaweza kumsaidia Unai Emery na hatimae anaondoka kwa kipigo kikubwa na Chelsea kudhiirisha ubabe kutokana na kutwaa Ubingwa huo kwa idadi kubwa ya magoli.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list