We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Monday, April 1, 2019

Waarabu kuamua mchezo wa Simba vs TP Mazembe


Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) limemteua Mustapha Ghorbal wa Algeria kuchezesha mechi ya Robo fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba na TP Mazembe.


Ghorbal atasaidiwa na Mahmoud Ahmed Kamel Abouelregal kutoka Misri na Mokrane Gourari kutoka Algeria pia
Mchezo huo utapigwa Jumamosi, April 06 katika uwanja wa Taifa ukitarajiwa kuanza saa 10:00 Jioni.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list