We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Monday, April 1, 2019

Ndemla huyooo Yanga,Mwenyewe afunguka


Ndemla huyooo Yanga,Mwenyewe afunguka

Kiungo wa mabingwa wa soka nchini Said Ndemla hatimaye amefunguka kwa mara ya kwanza baada ya uwepo wa tetesi nyingi zikimhusisha yeye kujiunga na Yanga ambao ni watani na wapinzani wakubwa wa Simba katika soka nchini Tanzania.

Said Ndemla amefunguka kuwa tayari washafanya mazungumzo ya awali na Yanga na wamemalizana kwenye mazungumzo hayo.
Amefunguka zaidi kwa kusema kiu yake yeye ni kuona anapata nafasi katika kikosi cha kwanza kitu ambacho amekuwa hakipati kwasasa ndani ya kikosi cha Simba.


Follow @Michezo_zone Instagram Bonyeza Hapa

” Yanga wameonesha nia ya kunisajili na maongezi ya awali tumemalizana . Uhakika wa namba kikosi cha kwanza ndio kiu yangu . Nadhani mambo yakienda sawa msimu mjao nitakuwa na timu hiyo . ”
Alisema Said Ndemla ambaye husifika zaidi kwa kupiga mashuti makali anapokuwa uwanjani.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list