We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Monday, April 1, 2019

Lionel Messi kukosa mechi zote dhidi ya Man United


Klabu ya Barcelona leo imethibitisha kuwa nyota wao Lionel Messi atakuwa nje ya uwanja kwa takribani wiki sita kufuatia maumivu aliyopata katika goti lake la kushoto jana jumapili kwenye mazoezi ya timu hiyo.

Imethibitishwa kuwa mchezaji huyo atakosa mechi sita za mwezi wa nne zikiwamo mbili za robo fainali klabu bingwa Ulaya dhidi ya Man United. Hii itakuwa ni habari nzuri kwa mashabiki wa Man United ambao walikuwa wakionekana kuwa na kazi nzto mbele wa miamba hiyo kutoka Uhispania kwenye ligi ya mabingwa  Ulaya.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list