We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Monday, March 4, 2019

“Zamaradi Moyo Wangu Unaumia Kwa Ajili Yako”- Zari

Mzazi mwenzake na staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Zari The Bosslady ameibuka na kumtumia salamu za rambi rambi Zamaradi Mketema Baada ya Ruge Kufariki.

Marehemu Ruge Mutahaba alikuwa kwenye mahusiano na Zamaradi Mketema kwa miaka mingi na  kufanikiwa kuzaa naye Watoto wawili wadogo.


Tangu Ruge amefariki Zamaradi amekuwa akionekana mwenye majonzi na hasa kwa sababu baba wa Watoto Wake amefariki.

Zari amemtumia salamu za kumfariji Zamaradi kwa sababu na yeye mwaka jana alifiwa na baba wa Watoto Wake watatu Ivan Semwanga.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Zari ameweka picha ya Zamaradi na Watoto Wake wakiwa kwenye msiba na kuandika maneno machache “My heart bleeds for you Zama”.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list