We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Sunday, March 24, 2019

Uganda, Kenya, Burundi zatangulia AFCON 2019, Stars zamu yetu leo


Timu ya Taifa ya Burundi jana iliandika historia ya kukata tiketi ya kushiriki fainali za AFCON 2019 kwa mara ya kwanza baada ya kutoka sare ya ao 1-1 dhidi ya Togo matokeo ambayo yamewapa nafasi ya kwenda Misri
Burundi imeungana na Uganda na Kenya kuwa timu kutoka Afrika Mashariki ambazo zimefuzu kwa fainali hizo zitakazopigwa mwezi Juni mwaka huu

Leo Tanzania inaweza kuwa timu ya nne kutoka ukanda wa Afrika Mashariki kufuzu kwa fainali za michuano hiyo kama itapata ushindi dhidi ya Uganda huku ikiomba matokeo mabaya kwa Lesotho
Ni mchezo wa 'kufa au kupona' kwa Stars ambayo inajaribu kurudia kile ilichokifanya miaka 39 iliyopita kwa kutinga fainali za michuano hiyo zilizofanyika Nigeria mwaka 1980

Mchezo dhidi ya Uganda utapigwa saa 12 jioni sambamba na mchezo mwingine wa kundi L kati ya Cape Verde dhidi ya Lesotho
Kila la kheri Stars...!

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list