We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, March 27, 2019

TFF yailima Yanga faini ya Tsh Milioni sita


Bodi ya Ligi Kuu imetangaza kuitoza klabu ya Yanga faini ya Tsh Milioni Sita kutoka na makosa yaliyofanyika katika mchezo dhidi ya KMC uliopigwa uwanja wa Taifa


Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Ligi Boniface Wambura amesema Yanga imetozwa fainali ya Tsh Milioni 3 kwa kila kosa kutokana na makosa mawili iliyofanya kwenye mchezo huo

Makosa hayo ni kuingia uwanja bila kupitia mlango rasmi na kugoma kuingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo wakati wa mapumziko

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list