We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, March 29, 2019

Serikali yawapa fursa Wanafunzi waliofaulu na kujiunga kidato cha Tano


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(Tamisemi),  Selemani Jafo, amesema kuwa Serikali imewapa fursa wanafunzi waliofaulu kujiunga na kidato cha tano kubadili tahsusi na kuchagua wanachokitaka kukisomea. 

Hayo ameyasema hayo leo wakati  akitoa taarifa hiyo ya wanafunzi waliofaulu kujiunga na kidato cha tano kwa waandishi wa habari jijini Dodoma. 

Waziri Jafo amesema kuwa hali hiyo inatokana na baadhi ya wanafunzi ambao hawakujaza vizuri tahasusi zao kutokana na kutokuwa na uhakika wa ufaulu. 

Jafo amesema ofisi yake haitatoa fursa ya mwanafunzi yeyote kubadili tahasusi anayotaka kama asipotumia fursa hiyo.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list