We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Sunday, March 3, 2019

Post ya Haji Manara baada ya tukio alilofanyiwa Gadiel Michael

Post ya Haji Manara baada ya tukio alilofanyiwa Gadiel Michael

Ukiachana na ushindi wa Yanga jana mbele ya Alliance fc moja ya tukio ambalo liliongelewa zaidi baada ya mchezo huo lilikuwa ni tukio la udharilishaji alilofanyiwa mchezaji Gadiel Michael.

Katika dakika za Mwisho kabisa za Nyongeza mchezaji wa alliance Fc Juma Nyangi aliyekuwa amevalia jezi namba 12 alionekana kwenda kumshika makalio Gadiel Michael wa Yanga
Afisa habari wa Simba Haji manara ameandika Ujumbe huu kuhusiana na kitendo hiko.

Huu mchezo ni wa kiungwana ila kuna mambo ya kihuni ambayo sisi wadau lazma tuyakemee kwa nguvu zote,bila kujali kafanya mchezaji wa klabu gani!! Nnavyojua mm hata Gangsters (Wahuni) wakubwa nao wana Code of conduct ,vp umfanyie mchezaji mwenzio usela wa kizamani?

Install App Bora Ya Michezo Hapa

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list