We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, March 27, 2019

Manula apata majeraha Stars


Mlinda lango namba moja wa Simba na Stars Aishi Manula, huenda akahitaji siku kadhaa za mapumziko baada ya kupata majeraha wakati akiitumikia Taifa Stars kwenye mchezo dhidi ya Uganda juzi


Kocha Mkuu wa Simba Patrick Aussems amesema Manula hatakuwa sehemu ya kikosi cha Simba kilichofanya maandalizi kuelekea mchezo dhidi ya Mbao Fc Jumapili
Wakati huo huo Aussems amesema wachezaji wote wa Simba waliokuwa na majukumu ya timu za Taifa wanatarajiwa kuanza kuwasili leo kuungana na wenzao ambao walianza mazoezi juzi kwa ajili ya maandalizi ya michezo inayofuata

Ukiondoa Aishi Manula, wachezaji wengine wanaotarajiwa kuripoti kambini kuanzia leo ni John Bocco, Jonas Mkude, Erasto Nyoni, Emmanuel Okwi, Juuko Murshid, Meddie Kagere na Clatous Chama

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list