We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Sunday, March 24, 2019

Kitu Mwakinyo amewaambia Taifa Stars baada ya kumpiga Bondia wa Argentina leo

Ukiachia ‘pambano’ kubwa la kesho la Taifa Stars vs Uganda, Tanzania ilikua na pambano jingine kubwa leo huko Nairobi Kenya ikiwakilishwa na Bondia Mtanzania Mtoto wa Tanga Hassan Mwakinyo.
Mwakinyo amemaliza kilichompeleka Kenya kwa kupambana na Bondia wa Argentina Sergio Gonzalez ambapo Mtanzania huyu amechukua ushindi kwa kumpiga Sergio kwa K.O kwenye round ya 5.

Mwakinyo kwenye pambano la leo ( picha kwa hisani ya Super Sport 8)
Baada ya ushindi huo, Mwakinyo amesema “Ushindi wangu wa leo ni maalum kwa Taifa Stars hapo kesho, natamani ushindi huu ukawe mfano kwa Wachezaji wa Stars, nawashukuru Watanzania kwa dua zenu na tusiache kuwapombea Taifa Stars”
Siku moja kabla ya pambano lake Mwakinyo alitumia Instagram yake kuandika “Ndugu zangu wana taifa mko kwenye maombi yangu nawaamini sana na pia naomba nikawe mfano wa kuigwa siku ya kesho, NCHI YETU TIMU YETU TAIFA LETU”

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list