Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha DSM (UDSM) Jaji Mstaafu Damian Lubuva akiwa Mbeya na Rais Mtsaafu Kikwete katika kujionea eneo ambalo wamepanga wajenge Chuo cha Afya amabcho kitakua chini ya UDSM aligusia utendaji kazi wake akiwa NEC nakusema alifanya vizuri kiungozi katika Tume hiyo ya Uchaguzi.
We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.
Subscribe to our RSS feed to stay updated on our progress.
No comments:
Post a Comment