We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Monday, March 25, 2019

Harmonize amuomba Diamond kuachia EP nyingine kama ya Afro Bongo, kisa wimbo wake kuchezwa uwanja wa taifa (+ Video)

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva anayetoka katika lebo ya WCB Harmonize ameamua kutumia ukurasa wake wa Instagram kumuomba Diamond ambaye ni boss wake kuachia EP nyingine kama ya Afro Bongo.



Harmonize ameamua kumuandikia maneno hayo Diamond Platnumz kutokana na wimbo wake wa Kainama uliopigwa jana uwanja wa taifa katika mchezo kati ya bTanzania dhidi ya Uganda.


No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list