Jana usiku Mtanzania, Hassan Mwakinyo amefanikiwa kumchakaza Muargentina Sergio Gonzalez kwa KO kunako raundi ya 5 ya mchezo.
Pambano hilo lisilo la ubingwa, lililopigwa kwenye Ukumbi wa KICC . Tazama video ya pambano hilo
Subscribe to our RSS feed to stay updated on our progress.
Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...
No comments:
Post a Comment