We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Monday, March 25, 2019

BREAKING NEWS: Rais Magufuli awazawadia Wachezaji wa Taifa Stars kila mmoja kiwanja


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amewazawadia kila mchezaji wa Taifa Stars zawadi ya kiwanja Makao Makuu ya Serikali jijini Dodoma. 

Rais Magufuli amesema kuwa amewapa zawadi hiyo kwa niaba ya Watanzania kwasababu wamewafurahisha katika mchezo wa jana. 

"Mimi kama mimi sina kitu, ila kwa niaba ya Watanzania sisi tunawapa zawadi za kiwanja kwa kila mmoja,Hassan Mwakinyo na mwalimu wako, Peter Tino na Ndugu Tenga, kila mmoja apate kiwanja chake, naomba Waziri Mkuu naomba usimamie hili. Sasa ukishapata kiwanja ukiamua kukiuza shauri yako, sisi kama Watanzania hiyo ndio shukrani yetu," Amesema Rais Magufuli Ikulu jijini Dar Es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list