We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, March 28, 2019

Balozi mpya wa Tanzania nchini Zambia, akalia kuti kavu.....Tazama Hapa Alichokisema Rais Magufuli

Rais Magufuli ameonesha kukerwa  na Balozi mpya wa Tanzania nchini Zambia ambaye  baada ya kuapishwa kuwa balozi, amekuwa akizunguka hapa nchini kwa kisingizio cha kuaga badala ya kwenda kuripoti kwenye kituo chake cha kazi alichopangiwa.

Rais ameyasema hayo leo Alhamisi March 27, 2019 wakati akimuapisha balozi mpya wa Cuba, Valentino Mlowola .

"Nakuomba Mlowola nimekuteua, uende Cuba, kuna Balozi wa Zambia nimemteua kila siku namuona anazunguka kwenye ofisi anaaga, mara kwa Waziri Mkuu, mara Makamu wa Rais, mara Zanzibar.

"Mwacheni aendelee kuaga, akimaliza kuaga, Ubalozi atakuwa hana."  Amesema Rais Magufuli

==>>Zaidi, msikilize hapo chini

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list