We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, March 29, 2019

Azam Fc yaungana na Lipuli Fc, KMC nusu fainali kombe la FA


Azam Fc imekuwa timu ya tatu kutinga nusu fainali ya kombe la FA (ASFC) baada ya kuichapa Kagera Sugar bao 1-0 katika mchezo uliopigwa dimba la Kaitaba
Wauza Ice Cream hao wameungana na KMC na Lipuli Fc kuwa timu tatu ambazo tayari zimetinga nusu fainali

Alliance Fc na Yanga zitachuana kesho Jumamosi katika mchezo ambao utatoa timu ya nne itakayoingia nusu fainali
Azam Fc sasa itachuana na KMC katika mchezo wa nusu fainali wakati Lipuli Fc itamsubiri mshindi wa mchezo kati ya Alliance dhidi ya Yanga

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list