We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Sunday, February 24, 2019

YANGA YAICHAPA NAMUNGO FC


Mabingwa wa kihistoria wa soka Tanzania Yanga wametinga robo fainali ya michuano ya kombe la Azam (ASFC) baada ya kuichapa Namungo Fc bao 1-0 katika mchezo uliopigwa dimba la Majaliwa Wilayani Ruangwa


Bao pekee la ushindi lililoipeleka Yanga robo fainali liliwekwa kimiani na Heritier Makambo kwenye dakika ya 83 akiunganisha krosi murua iliyochongwa na Deus Kaseke

Ulikuwa ni mchezo wa nguvu uliokuwa na matukio mengi ya kibabe

Aidha mlinda lango Klaus Kindoki leo alikuwa katika kiwango bora akiokoa michomo kadhaa iliyoelekezwa langoni kwake

Yanga inakuwa timu ya kwanza kupata ushindi kwenye uwanja wa Majaliwa ambao ulifunguliwa mwanzoni mwa msimu huu

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list