We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, February 1, 2019

VIDEO: Wambura amlipua Rais wa TFF, "Wanatumia milioni 300, kesho wanalia hela ya kambi ya timu za Taifa"


Aliyekuwa Makamu wa Rais Shirikisho la soka nchini TFF, Michael Wambura, amemcharukia Rais Walleece Karia kwa madai ya kutaka kubadili baadhi ya vifungu vya katiba ya shirikisho hilo ili kujimilikisha madaraka zaidi ya kuteuwa wajumbe wengi. Pia Wambura ameongeza kuwa TFF wanatumia shilingi milioni 300 kwenye mkutano wa February  2, 2019 na baada ya muda wanaanza kulalamika kuhusu fedha za kambi ya timu za Taifa.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...


No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list