We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, February 1, 2019

Profesa Jay amejibiwa na Serikali Bungeni baada ya kudai umeme (+video)

Ni habari kutokea Bungeni Dodoma leo February 1, 2019 ambapo miongoni mwa Wabunge waliosimama kuuliza maswali kwa Serikali ni pamoja na Mbunge wa Mikumi Joseph Haule maarufu Profesa J ambaye alitaka maelezo ya Serikali kwanini jimbo lake lenye vijiji 57 lakini kati ya hivyo ni vijiji 16 pekee ndio vina umeme, Majibu yakatolewa na Naibu Waziri wa Nishati Subira Mgalu.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list