We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Saturday, February 23, 2019

VIDEO: Lugola Awatahadharisha wanaowaita Mashoga bila uhakika



Waziri wa mambo ya ndani kangi Lugola amewataka watu kutowadhania wengine na kuwaita shoga kwa kuwa ni kosa kisheria endapo hakuna ushahidi halisi.

Amesema kuwa wakati mwingine mtu ana maumbile tofauti hata kutembea ukamdhania kuwa ni shoga kumbe siyo kweli huku akisema haitakiwi kuwaita mashoga bali ni kuita Kinyume na maumbile

TAZAMA FULL VIDEO HAPA


No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list