We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Monday, February 25, 2019

Timu zilizotinga robo fainali kombe la Azam


Jana Yanga iliungana na timu nyingine sita kutinga robo fainali ya michuano ya kombe la Azam (ASFC)


Timu nyingine zilizotinga robo fainali ni Kagera Sugar, KMC, African Lyon, Singida United, Lipuli Fc na Alliance Fc

Leo Azam Fc itachuana na Rhino Rangers katika mchezo ambao mshindi ataungana na timu hizo saba ambazo tayari zimetinga robo fainali

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list