We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Saturday, February 23, 2019

RC Mwanri aibua vicheko msibani kwa Kigwangalla “dunda asikutishe Mama mkwe na Shetani” (+video)

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri amezungumza katika mazishi ya Mtoto wa Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla yaliyofanyika Mkoani Tabora Wilayani Nzega na kuhudhuriwa na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri January Makamba na Viongozi wengine.
Mwanri amemtaka Waziri Kigwangalla na Familia yake kutolaumu juu ya kifo cha Mtoto wao ila wajue ni mipango ya MUNGU.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list