We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Saturday, February 23, 2019

Polisi wamuita Halima Mdee kwa mahojiano


Mbunge wa Kawe kupitia (CHADEMA), Halime Mdee ameitikia wito wa Polisi Kinondoni jijini Dar es Salaam aliotakiwa kufika leo Jumamosi Februari 23,2019.

Mdee ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (BAWACHA) ametumia ukurasa wake wa mtandao wa twitter kuoleza hilo.

“Nimepata wito wa kuitwa Polisi Oysterbay kwa mahojian, mpaka sasa sababu ya wito ni nini. Ngoja tujongee.” ameeleza Halima Mdee.

Hatua hiyo inakuja siku moja baada ya Mbunge wa Mbeya Mjini (CHADEMA), Mbunge Joseph Mbilinyi 'Sugu'   kuhojiwa na Polisi kwa saa zaidi ya tano baada ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ulrich Mate kumtaka Sugu kuripoti kwa ajili ya mahojiano.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list