Hii ni ndege ya Kenya Airways iko pale Uwanja wa Ndege DSM, nimewaza tu kwa mawinchi hayo na namna wataalam wanashughulika na injini ya ndege hiyo, “yani kama ingekuwa ni ndege yetu tungehaika kwa wiki nne dhidi ya wapotoshaji”. Ufundi ni jambo la kawaida. Tuipende Nchi yetu
We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.
Subscribe to our RSS feed to stay updated on our progress.



No comments:
Post a Comment