We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Sunday, February 24, 2019

Halima Mdee aendelea kushikiliwa polisi


Jeshi la Polisi mkoa wa kipolisi Kinondoni linaendelea kumshikilia mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee kwa madai ya kutoa maneno ya uchochezi katika mkutano wa hadhara alioufanya Mikocheni Februari 21, 2019.

Mdee ambaye pia ni mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha) alikamatwa jana Jumamosi Februari 23, 2019 na kunyimwa dhamana.
Akizungumza na Mwananchi leo Jumapili Februari 24, 2019, Hekima Mwasipu ambaye ni wakili wa Mdee, amesema, “Bado tunaendelea kufuatilia dhamana yake maana jana baada ya mahojiano walimuweka mahabusu  na kumnyima dhamana. Leo tunaendelea kufuatilia kama kutakuwa na uwezekano wa kupata dhamana.”
Mdee anadaiwa kusema, “mtu ananunua ndege badala ya vifaa vya zahanati hii ni akili au matope.”

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list