We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Saturday, February 23, 2019

Hali ya Okwi inaendelea vizuri - Gembe


Daktari wa Simba Yassini Gembe amesema hali ya mshambuliaji Emmanuel Okwi aliyeumia jana kwenye mchezo dhidi ya Azam Fc inaendelea vizuri


Okwi alipata jeraha la kuchanika chini ya jicho baada ya kugongana na mlinzi wa Azam Fc Bruce Kangwa katika dakika ya 72

Gembe amesema mshambuliaji huyo wa Kimataifa wa Uganda ameshonwa nyuzi mbili

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list