We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Saturday, February 23, 2019

BREAKING: Azam Fc yawatimua Pluijm na Msaidizi wake


Klabu ya Azam Fc imetangaza kusitisha mikataba ya kocha Mkuu wa timu hiyo Hans van Pluijm na Msaidizi wake Juma Mwambusi


Uongozi wa Azam Fc umechukua hatua hiyo kufuatia mwenendo usioridhisha wa timu hiyo kwenye ligi

Azam Fc imecheza michezo mitano mfululizo bila ya kushinda jana ikifungwa mabao 3-1 na Simba

Pluijm alitua Azam Fc mwanzoni mwa msimu akijiunga na timu hiyo akitokea klabu ya Singida United ambayo aliitumikia kwa msimu mmoja

Pluijm amewahi kuiongoza Yanga kwa mafanikio, akishinda taji la ligi kuu misimu ya 2014/15 na 2015/16

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list