We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Saturday, September 14, 2019

Zahera aeleza alivyosaidiwa na kocha wa TP Mazembe

Kocha wa klabu ya Yanga Mwinyi Zahera, amesema kuwa licha ya uzoefu wa Zesco katika michuano ya Ligi ya Mabingwa lakini watahakikisha wanawafunga leo.


Akiongea kuelekea mchezo huo Zahera amesema kuwa, wanatambua Zesco ni wazoefu kuliko Yanga lakini amepata usaidizi wa mbinu zo kutoka kwa kocha wa TP Mazembe, Pamphile Mihayo Kazembe hivyo watakabiliana nao.
Yanga inacheza na Zesco leo Septemba 14, 2019 kwenye uwanja wa Taifa Dar es salaam ikiwa ni raundi ya pili ya hatua za awali ambapo mshindi wa jumla katika mechi mbili ataingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Zaidi tazama kwenye video hapo chini.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list