We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Tuesday, September 17, 2019

Wilker arejea kikosini Simba

Mshambuliaji Wilker Da Silva amepona majeraha na yuko tayari kuanza kuitumikia Simba michezo ijayo
Wilker ni mmoja wa wachezaji watatu waliosajiliwa kutoka Brazil. Hata hivyo bado mashabiki wa Simba hawajamuona ndani ya uzi wa mabingwa hao wa Tanzania Barakutokana na kusumbuliwa na majeraha kwa muda mrefu
Mkali huyo wa kuzifumania nyavu, ameanza mazoezi na wachezaji wengine jana na pengine huenda kocha Patrick Aussems anaweza kumtumia kwenye mchezo wa ligi utakaofuata ambao ni ugenini dhidi ya Kagera Sugar

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list