We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, September 11, 2019

Viongozi Yanga 'wakomaa' kumaliza sakata la Dante

Beki kisiki wa Yanga Vicent Andrew Chikupe huenda akajiunga na timu hiyo jijini Dar es salaam baada ya kufikiwa makubaliano kuhusu suala lake
Kocha Mkuu wa Yanga Mwinyi Zahera amesema viongozi wa timu hiyo pamoja na yeye mwenyewe wamefanya jitihada kuhakikisha Dante anajiunga wenzake kuendelea na majukumu
"Tumesimulia na Dante, mambo yake yanamalizwa na viongozi nafikiri atajiunga nasi siku yoyote," amesema
Yanga inatarajiwa kurejea jijini Dar es salaam kesho Jumatano, kumalizia maandalizi kuelekea mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya ZESCO United
Mchezo huo utapigwa kwenye uwanja wa Taifa Jumamosi, Septemba 14 2019

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list