We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, September 11, 2019

TFF yatoa pole msiba wa shabiki aliyepoteza maisha uwanja wa Taifa

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetoa pole kwa familia ya Christopha Rupia, shabiki aliyepoteza maisha kwenye mchezo kati ya Tanzania dhidi ya Burundi uliopigwa uwanja wa Taifa Jumapili, Septemba 08
Katibu Mkuu wa TFF Kidao Wilfred leo alifika nyumbani kwa marehemu nje kidogo ya jiji la Dar es salaam kuwasilisha salamu pamoja na rambirambi
Mzee Rupia alipoteza fahamu uwanjani baada ya kukumbwa na mshtuko wa moyo kisha kukimbizwa Hospitalini ambako alipoteza maisha

Alikuwa ni shabiki mkubwa wa timu ya Taifa na inaelezwa siku ya mchezo ni kosakosa za mabao ndizo zilizomfanya akumbwe na shambulizi la moyo
Mzee Rupia anatarajiwa kuzikwa Jumamosi
Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema, peponi AMEN.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list