We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, September 11, 2019

Tembo walivyovamia na kubomoa nyumba 39 na kula mahindi gunia 30 (+video)

Nyumba thelathini na Ttisa katika Vijiji vya Longalonhiga, Matale na Mwasengela Wilayani Meatu Mkoani Simiyu zimebomolewa na tembo waliovamia makazi wakitafuta chakula na kula mahindi yaliyokuwa yamehifadhiwa kwenye maghala.
Tembo hao wanasemekana kubomoa nyumba na kula mahindi yanayokadiriwa kuwa zaidi ya magunia thelathini.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list