We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Monday, September 16, 2019

Stars kucheza na Sudan Septemba 22

Mchezo wa kwanza wa kusaka tiketi ya kutinga fainali za michuano ya CHAN kwa wachezaji wanaocheza ndani kati ya Tanzania dhidi ya Sudan, utapigwa Jumapili ijayo, Septemba 22 kwenye uwanja wa Taifa
Timu hizo zitarudiana Oktoba 18 nchini Sudan
Kaimu kocha Mkuu wa Stars Etienne Ndayiragije mapema leo alitangaza kikosi cha wachezaji 25 ambacho kitaikabili Sudan
Mchezo huo wa Stars umepelekea kutokuwepo kwa michezo ya Ligi kuu.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list