SHERIA ITAKAYOTOA ADHABU KWA WANAOPIGA PICHA ZA MAITI
Prof. Adelardus Kilangi, Mwanasheria Mkuu wa Serikali amewasilisha muswada wa sharia ya marekebisho ya sharia mbalimbali (Na.6) wa mwaka 2019 katika bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Moja ya sharia ambayo imerekebishwa ni sheria ya kanuni za adhabu sura ya 16, marekebisho yanalenga kuongeza adhabu ya faini ili kuondoa adhabu zilizopitwa na wakati kutokana na hali ilivyo sasa, kifungu kipya kinapendekeza kuongezwa ili kutoa adhabu kwa watu wanaotumia au kusambaza picha za maiti, waathirika wa majanga na matukio ya kutisha yanayohatarisha Amani au kuingilia utu wa mtu
Bonyeza play hapa chini kutazama zaidi pia tembelea app hii kila Mara kusoma habari mpya
No comments:
Post a Comment