We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, September 13, 2019

MAZISHI YA MUGABE: Familia na Serikali wamaliza mvutano wa mahala atakapozikwa

Familia ya rais wa zamani wa Zimbabwe, Robert Mugabe imekubali kiongozi huyo azikwe kwenye makaburi ya mashujaa wa kitaifa mjini Harare.
Image result for Zimbabwe, Robert Mugabe funeral
Hata hivyo, tarehe rasmi ya kuzikwa kwake bado haijawekwa wazi. Msemaji wa familia ya Mugabe Leo Mugabe amewaambia waandishi habari kwamba machifu wa kikabila katika eneo alikozaliwa Mugabe ndiyo waliofikia uamuzi huo.
Leo ambaye ni mpwa wa Mugabe amesema mazishi hayo yatakuwa ya kifamilia na wanaendelea kujadiliana kuhusu siku atakayozikwa kiongozi huyo wa zamani. Mugabe alifariki dunia wiki iliyopita nchini Singapore akiwa na miaka 95.
Image result for Zimbabwe, Robert Mugabe funeral
Familia yake na rais Emmerson Mnangagwa, aliyekuwa mshirika wa Mugabe walijikuta wakivutana kuhusu wapi atakapozikwa Mugabe baada ya mwili wake kuwasili nchini humo.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list