We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Monday, September 16, 2019

Kauli ya kwanza ya JPM, Lissu kukosa Ubunge ( VIDEO )

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametoa kauli ya kwanza, tangu kuchaguliwa kwa Mbunge wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu ambaye amechukua nafasi ya Tundu Lissu.


Rais Magufuli ametoa kauli hiyo jijini Dar es salaam wakati wa uzinduzi rada mbili za kuongozea ndege, ambapo amesema jimbo hilo lilikuwa halina mwakilishi.
Rais Magufuli amesema kuwa "nimefurahi kumuona Mbunge wa CUF, lakini nimefurahi kumuona Mbunge ambaye jimbo lilitelekezwa lililokuwa la Tundu Lissu (Miraji Mtaturu), ameingia na kazi, saa nyingine majimbo yanakosa uwakilishi."
"Siku ile ulitoa maagizo Spika tushughulikie tatizo la maji kule, nakuahidi tutashughulikia maji katika jimbo lile (Singida Mashariki) ili yale yaliyochelewa yakamilike kwa haraka haraka." ameongeza Rais Magufuli
Hivi karibuni Bungeni jijini Dodoma, Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai alimuapisha Miraji Mtaturu kuwa Mbunge wa Singida Mashariki

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list