Kamati ya Hamasa ya klabu ya Yanga imewashukuru mashabiki kwa kujitokeza kwa wingi uwanja wa Taifa mwishoni mwa wiki kujitokeza kwa wingi kwenye mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Zesco United
Kamati hiyo imewataka mashabiki kujitokeza kwa wingi kuambatana na kikosi cha Yanga nchini Zambia ili kuipa timu hamasa katika mchezo wa marudiano

No comments:
Post a Comment