We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Tuesday, September 17, 2019

Binti Miaka 19 Ajifungua Watoto Watano Tabora – Video

BINTI mwenye umri wa miaka 19, Monica David, aliyekuwa na ujauzito wa miezi mitano amejifungua watoto watano katika muda wa siku mbili.
Monica  alifikishwa hospitalini ambapo siku ya kwanza ambapo alijifungua mtoto mmoja na siku ya pili alijifungua watoto wanne.
Hata hivyo, watoto hao waliokuwa wa jinsia ya kiume wote hawakuweza kuishi kwa sababu walizaliwa kabla ya muda.
Akihojiwa, baba wa watoto hao ameelezea kusikitishwa na vifo vya watoto wake kwani siku zote maombi yake yalikuwa kupata mtoto wa kiume.
Hali ya afya ya binti huyo inaendelea vizuri.
Chanzo:CG FM Radio.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list