Benki Kuu ya Tanzania inapenda kukanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni kwamba mwezi Julai 2019 ilitoa sarafu ya kumbukumbu ya visiwa vya Dokdo yenye thamani ya shilingi 3000.
Benki Kuu inapenda kuufahamisha umma kuwa taarifa hizo si za kweli na kwamba sarafu hiyo siyo mali ya Benki Kuu ya Tanzania na haijatolewa na Benki Kuu kwa njia yoyote ile na wala Benki Kuu haijawahi kuingia mkataba na kampuni yoyote kutoa sarafu hiyo.
We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.
Subscribe to our RSS feed to stay updated on our progress.


No comments:
Post a Comment