We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, September 18, 2019

Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Yakanusha Kuhusu Taarifa Ya Sarafu Ya Shilingi 3,000

Benki Kuu ya Tanzania inapenda kukanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni kwamba mwezi Julai 2019 ilitoa sarafu ya kumbukumbu ya visiwa vya Dokdo yenye thamani ya shilingi 3000. 

Benki Kuu inapenda kuufahamisha umma kuwa taarifa hizo si za kweli na kwamba sarafu hiyo siyo mali ya Benki Kuu ya Tanzania na haijatolewa na Benki Kuu kwa njia yoyote ile na wala Benki Kuu haijawahi kuingia mkataba na kampuni yoyote kutoa sarafu hiyo.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list