We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, September 12, 2019

Adakwa na polisi kwa kujifanya babu wa miaka 81

Jayesh Patel raia wa India mwenye miaka 32, amekamatwa na polisi kwa kosa la kujifanya babu wa miaka 81 ili kupata nafasi ya kwenda nchini Marekani.

Jamaa huyo alikamatwa katika uwanja wa kimataifa wa ndege ujulikanao kama 'Gandhi International Airport' siku ya Jumapili baada ya kukaguliwa na ofisa usalama.
Polisi wamesema jamaa huyo alifika Airport wakati wa kukaguliwa akiwa anatembea katika kiti cha magurudumu ya vilema na alipaka ndevu rangi nyeupe, miwani ya kizee na alijifunga vilemba ili aonekane mzee.
Aidha  polisi wameendela kusema Passport yake ilionyesha anaitwa jina la Amrik Singh aliyezaliwa 1/2/1938 sawa na miaka (81) jijini Delhi, lakini ngozi yake haikuonyesha kama amefikia umri huo.
Baada ya kukakugiliwa na kukamtwa alipelekwa katika idara ya uhamiaji kwa kosa la udanganyifu ambapo idara hiyo imesema,
"Mipango ya Jayesh Patel ilikuwa ni kwenda Marekani kutafuta kazi, lakini 'profile' yake na udanganyifu haikumuwezesha kupata visa".

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list