We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, August 21, 2019

Yanga yaendelea kujifua Botswana

Kikosi cha Yanga tayari kiko Botswana kikiendelea na maandalizi ya mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Township Rollers
Mabingwa hao wa kihistoria walifanya mazoezi yao ya kwanza nchini humo jana baada ya kutua kimya kimya juzi jioni ikitokea Afrika Kusini
Kocha Mwinyi Zahera ametaka kikosi chake kiwasili Botswana mapema ili apate muda wa kutosha wa kufanya maandalizi ya mwisho pamoja na kuzoea hali ya hewa nchini humo ambapo kwa sasa ni baridi kali
Yanga inahitaji kuibuka na ushindi Jumamosi, hata matokeo ya sare ya kuanzia mabao 2-2 yataivusha Yanga hatua inayofuata
Mchezo huo utakaopigwa Jumamosi saa tisa Alasiri kwa saa za Botswana, utaamua timu itakayovuka raundi ya kwanza ambayo huenda ikachuana na ZESCO United katika hatua hiyo
ZESCO ilipata ushindi wa mabao 2-0 kwenye mchezo wake wa kwanza dhidi ya Green Mamba uliopigwa huko eSwatini

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list