We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, August 21, 2019

Waliofariki kwa Ajali ya Moro Wafikia 100

Majeruhi wa ajali ya lori kulipuka moto Morogoro waliofariki jana Agosti 20, 2019 ni;
1. Mazoya Sahani
2. Khasim Marjani
3. Ramadhani Magwila.

Wamebaki majeruhi 15 kati ya majeruhi 47 waliofikishwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) wakitokea Morogoro.
Taarifa hiyo imetolea na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano, Hospitali ya Taifa Muhimbili, Aminiel Aligaesha.
Jumla ya waliofariki mpaka sasa tangu ajali hiyo ilipotokea Agosti 10, 2019, ni watu 100.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list