We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Tuesday, August 20, 2019

RC Makonda amgeuzia kibao Diamond na wanaume wengine matapeli wa kuoa, Ataka wanawake waliodanganywa kuolewa wakamshtaki (+video)

Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Mhe. Paul Makonda amewataka wanawake wote ndani ya mkoa wa Dar Es Salaam ambao wamedanganywa kuolewa na kisha kukimbiwa na wanaume, Waende mahakamani kudai haki zao ili kukomesha tabia ya udanganyifu kwenye mahusiano.

RC Makonda amesema hayo leo Agosti 20, 2019 katika mkutano wake na waandishi wa habari, Ambapo amesema kuwa anakuja na mpango wa kujadili kwa kina tatizo la wanaume kuwadanganya wanawake kwa ahadi za kuoa na kisha kuwakimbia.
Makonda amesema anaamini wanawake wengi kwasasa wameumizwa kisaikolojia, Jambo linalopelekea wanawake kuwachukia wanaume na wengine kukataa hata kuolewa kabisa.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list