Klabu ya Simba jana imepata ahueni ya majeruhi baada ya nyota wake wawili kuanza mazoezi na kikosi cha kwanza
Mlinda lango Aishi Manula na kiungo Ibrahim Ajib waliokuwa nje kwa takribani wiki mbili, jana wamerejeshwa kikosini baada kupona majeraha
Tangu wiki iliyopita Ajib, Manula na Da Silva walikuwa wakifanya mazoezi maalum
Simba imebaki na wachezaji wawili majeruhi ambao ni nahodha John Bocco na mshambuliaji Wilker Da Silva

No comments:
Post a Comment