We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Tuesday, August 20, 2019

Diamond akunwa na uwanja mkubwa wa kisasa Afrika Mashariki wa ‘Kigali Arena’, Amtumia maombi Rais Magufuli (+Video)

Msanii wa muziki Diamond Platnumz amevutiwa na uwanja mkubwa wa kisasa wa mpira wa kikapu ‘Kigali Arena’ uliopo nchini Rwanda, Kwa kusema kuwa ametembea nchi zote hapa Afrika Mashariki lakini hajaona uwanja mkubwa kama huo.

Akiongea na Bongo5, Diamond Platnumz amesema kuwa anaiomba serikali ya Tanzania chini ya Rais Magufuli ijenge uwanja kama huo wa kisasa ili utumike kwenye michezo na matamasha mbalimbali ya muziki.
Akikazia maombi hayo, Diamond amesema kuwa endapo Serikali itampa uwanja anauwezo wa kujenga Arena yake kwani anaamini uwezo huo anao.
Uwanja wa Kigali Arena ulizinduliwa mwezi uliopita na Rais wa Rwanda, Mhe. Paul Kagame na utatumika kwa mchezo wa mpira wa kikapu pamoja na matamasha mbalimbali ya burudani.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list