We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, June 20, 2019

YANGA WATOA TAMKO RAMSI KUHUSU HATMA YA IBRAHIM AJIB

Makamu Mwenyekiti wa Yanga Fredrick Mwakalebela amesema mkataba wa nahodha wa Yanga Ibrahim Ajib unamalizika mwishoni mwa mwezi huu na mazungumzo ya kuhuisha mkataba wake yalifanyika
Akijibu maswali ya waandishi Makao Makuu ya klabu ya Yanga jijini Dar es salaam leo, Mwakalebela amesema Yanga ilifanya mazungumzo na kiungo huyo lakini wamemuachia mwenyewe aamue hatma yake
"Mkataba wake unamalizika mwisho wa mwezi huu, mazungumzo yamefanyika na klabu imempa nafasi ya kuamua kama anapenda kubaki nafasi ipo,lakini kama anataka kuondoka klabu inamtakia kila la kheri"
"Tunatambua Ajib ni mchezaji mzuri na tungependa kuendelea nae lakini uamuzi wa kubaki au kuondoka upo mikononi mwake"

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list