We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, June 6, 2019

Rais Magufuli Kukutana na Wafanyabiashara Watano Kutoka Kila Wilaya Kesho Ijumaa

Rais wa Tanzania, John Magufuli kesho Ijumaa Juni 7, 2019 atakutana na wafanyabiashara watano kutoka kila Wilaya kujadili mambo mbalimbali.

Taarifa iliyotolewa leo Alhamisi Juni 6, 2019 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa imesema mkutano huo utafanyikia Ikulu kuanzia saa 3.30 asubuhi.

Msigwa amesema wafanyabiashara hao watawawakilisha wenzao ambapo wataambatana na wajumbe wa Baraza la Biashara la Taifa (TNBC).

“Mkutano huu utaanza saa 3:30 asubuhi hivyo wajumbe wote wanatakiwa kuwasili katika ukumbi wa Kikwete kuanzia saa 2:00 hadi saa 2:30 asubuhi,”  amesema Msigwa

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list