We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, June 20, 2019

Mzazi atupa mtoto mchanga kwenye daraja

Wasamalia wema wamemuokoa mtoto mchanga, ambaye alitupwa na mzazi wake muda mfupi baada ya kuwa amezaliwa katika daraja lililopo kijiji cha Mtisi kata ya Sitalike wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi.

Baada ya kumuokoa, raia hao wema walimpeleka katika hospitali ya mkoa wa Katavi ambako hali yake ya afya kwa sasa inaendelea vyema.
Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi wa hospitali  teule ya Mkoa, muuguzi  James Kasabanga, amesema kuwa mtoto huyo wamempokea akiwa katika hali mbaya, ila kwa sasa anaendelea vizuri na amewaomba wasamalia wema kujitokeza kumsaidia mtoto huyo kwani ana uhitaji wa mahitaji muhimu.
Kutokana na jinsi walivyoweza kuokoa uhai wake ,Suzan Tarimo ambaye ni muuguzi katika hospitali hiyo, amesema mtoto huyo wamempa jina la Neema kwa sababu ameokolewa kwa Neema ya Mungu.
Zaidi tazama Video hapo chini 

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list